Friday, March 20, 2020

UPOTOSHAJI KUHUSA CORANA

www.fahamuhaya.blogspot.com

Ukikutana na taarifa hizi kuhusu corona, zipuuze

FRIDAY MARCH 20 2020
 Katika kipindi hiki ambacho maambukizi ya virusi vya corona yamezidi kuenea ulimwenguni kote ikiwamo Tanzania, kuna taarifa nyingi rasmi kuhusu tiba ya virusi hivyo.
Watu wamekuwa wakishauriwa kufanya baadhi ya mambo ambayo si sahihi wakiaminishwa kuwa yanazuia au kutibu ugonjwa huo.
Hata hivyo, wataalamu wa masuala ya afya wamebainisha kwamba kuna taarifa nyingi za upotoshaji kuhusu kutibu au kuzuia ugonjwa wa corona.
Taarifa hizo zisizo sahihi zimekuwa zikisambaa kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, Facebook na Whatsapp na kuwaweka wananchi njiapanda wasijue kipi cha kweli na kipi cha uongo.
Kutokana na hali hiyo, Dk Li Ping anayeshughulikia magonjwa yanayoambukiza katika hospitali ya Nanjing, China anataja baadhi ya taarifa za uvumi au upotoshoji zilizosambaa kuhusu corona, na jinsi ambavyo njia hizo haziwezi kukabiliana na virusi hivyo.
Uvumi wa kwanza ni kwamba kunywa maji ya moto kunaweza kuua virusi vya corona.
Dk Ping anasema ukweli ni kwamba maji ya moto yanapita kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula wakati virusi viko kwenye mfumo wa upumuaji, mifumo ambayo ni tofauti.
Uvumi wa pili ni kwamba vitamini C inaweza kuboresha kinga ya mwili kukabiliana na corona.
Mtaalamu huyo anabainisha kwamba vitamin C inaweza kusaidi kazi za kawaida za kinga ya mwili lakini haiwezi kuongeza kinga dhidi ya virusi vya corona na wala haina athari zozote kwa virusi hivyo.
Uvumi wa tatu ni kwamba kuvaa barakoa (masks) nyingi kunaweza kuzuia virusi vya corona.
Dk Ping anasema virusi vya corona huambukizwa kwa njia ya majimaji na siyo lazima kuvaa barakoa (mask) ili kuvuzia.
Uvumi wa nne kuwa ni wanyama wafugwao wanaweza kueneza virusi vya corona.
Lakini Dk Ping anasema usahihi katika uvumi huu ni kwamba hakuna ushahidi kwamba wanyama wafugwao kama mbwa na paka wanaweza kueneza virusi hivyo.
Uvumi wa tano ni kutumia dawa za kuua bakteria inaweza kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.
Dk Ping anabainisha kwamba dawa za kuua bakteria zimewekwa kwa ajili ya kuua bakteria na zikitumika kuua virusi zitafanya upinzani wa bacteria kuwa mbaya zaidi.
Tahadhari zinazopendekezwa
Dk Ping anabainisha njia tano za tahadhari dhidi ya virusi vya corona; kwanza, ni kunawa mikono kwa sabuni au kemikali iliyotiwa ethano kwenye maji ya yanayotiririka.
Anasema kugusa shavu baada ya kugusa kitu kilichochafuliwa, kunamuweka mtu katika hatari zaidi.
Pili, anasema acha madirisha wazi ili kuruhusu hewa kuingia ndani.
Pia, anashauri watu kutumia dawa za kuua wadudu mara kwa mara na kusafisha vitu vya ndani kama vile meza za jikoni, viti na madawati.
Anasema ikiwa unakohoa au kupiga chafya, funika mdomo wako kwa kitambaa au karatasi na baada ya hapo tupa karatasi au kitambaa hicho kwenye pipa la takataka lililofunikwa na kisha osha mikono yako kwa sabuni.
Dk Ping anasema inapendekezwa pia kukaa umbali wa mita moja kati ya mtu na mtu na epuka kwenda sehemu zenye mkusanyiko mkubwa wa watu au maeneo unayoweza kugusana na wagonjwa. Anabainisha kuwa endapo mlipuko utatokea, vaa barakoa (mask) wakati wa kwenda nje.
ADVERTISEMENT

Coronavirus tishio kwa dunia

www.fahamuhaya.blogspot.com

Ramani ya Coronavirus: Kasi ya kusambaa kwa virusi 19 Machi 2020

Maelezo haya yanatokana na data za mara kwa mara kutoka Chuo kikuu cha Johns Hopkins na huenda yasiangazie hali halisi ya mambo yalivyo katika kila nchi.
Jumla ya visa vilivyothibitishwaJumla ya vifo
219,1998,939


VisaVifo
Uchina81,1553,249
Italia35,7132,978
Iran17,3611,135
Uhispania14,769638
Ujerumani12,32728
Marekani9,403150
France9,045243
Korea Kusini8,56591
Uswizi3,06733
Uingereza2,628103
Netherlands2,05158
Austria1,8435
Norway1,6016
Belgium1,48614
Sweden1,30110
Denmark1,0594
Japan88929
Malaysia7902
Canada7279
Mili ya Diamond Princess7127
Ureno6422
Australia5686
Brazil5294
Israel529
Jamuhuri ya Czech522
Qatar452
Ugiriki4185
Ireland3662
Finland359
Singapore313
Kashmir inayotawaliwa na Pakistan3072
Poland2875
Slovenia2861
Romania260
Estonia258
Bahrain2561
Iceland2501
Saudi Arabia238
Chile238
Indonesia22719
Thailand2121
Misri2106
Luxembourg2032
Ufilipino20219
Uturuki1912
India1693
Ecuador1683
Iraq16412
Urusi147
Peru145
Kuwait142
Lebanon1334
San Marino11911
Afrika Kusini116
Milki za Kiarabu113
Armenia110
Panama1091
Taipei ya China1081
Slovakia1051
Argentina972
Mexico93
Colombia93
Bulgeria922
Croatia89
Serbia89
Uruguay79
Vietnam75
Algeria747
Latvia71
Costa Rica691
Brunei Darussalam68
lbania592
Cyprus58
Visiwa vya Faroe58
Hungary581
Jordan56
Morocco542
Andorra53
Belarus51
Sri Lanka51
Malta48
Ukingo wa Magharibi44
Macedonia Kaskazini42
Oman39
Georgia38
Bosnia na Herzegovina38
Venezuela36
Moldova361
Kazakhstan35
Cambodia35
Azerbaijan341
Jamuhuri ya Dominica342
Guadeloupe33
Lithuania33
Senegal31
Tunisia29
Liechtenstein28
New Zealand28
Martinique231
Afghanistan22
Burkina Faso201
Ukrain162
Uzbekistan15
Jamaica151
Bangaldesha141
Kisiwa cha Reunion14
Maldivers13
Cameroon13
Bolivia12
Paraguay11
Guiana ya Ufaransa11
Cuba101
Honduras9
Cote d'voire9
Gibraltar8
Nigeria8
Rwanda8
Ghana7
Trinidad and Tobago7
Guyana71
Monaco7
Kenya7
Jersey6
Guatemala61
Ushelisheli6
Mongolia6
Ethiopia6
Guam5
Puerto Rico5
Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo4
Saint Martin (Eneo la Ufaransa)4
Equitorial Guinea4
Aruba4
Kyrgystan3
Mayotte3
Mauritius3
Polynesia ya Ufaransa3
Netherlands Antilles31
Tanzania3
Saint Barthélemy3
Saint Lucia2
Liberia2
Namibia2
Greenland2
Zambia2
Kosovo2
Mauritania2
Barbados2
Sudan21
Visiwa vya Virgin vya Marekani2
Benin2
Gambia1
Guinea1
Montserrat1
Guernsey1
Togo1
Gabon1
Fiji1
Djibouti1
Visiwa vya Cayman11
El Salvador1
Nepal1
Congo1
Jamuhuri ya Afrika ya Kati1
Bhutan1
Somalia1
Vatican1
St St Vincent na Gradines1
Nicaragua1
Suriname1
Bahamas1
Montenegro1
Antigua na Barbuda1
Eswatini1