IMF:Tishio la kuzorota kiuchumi lapanda
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/06/150406044112_lagarde_imf_640x360_reuters.jpg)
Shirika la Fedha Duniani (IMF) limesema kuwa hatari ya kuzorota kwa uchumi duniani imeongezeka.
Katika taarifa mpya, IMF linasema kuwa uchumi wa dunia umezongwa na bei duni za mafuta na kuporomoka kwa bei katika masoko ya hisa.
Kupanda kwa Dola pia kunaletea kampuni matatizo hasa kwa wale waliokopa pesa kupitia sarafu hiyo ya dola ambazo watalipa kwa pesa zao wenyewe.
Chanzo:bbc/swahili
No comments :
Post a Comment